Isaya 61:8 - Swahili Revised Union Version8 Maana mimi, BWANA, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wizi na uovu; nami nitawalipa malipo katika kweli, nitaagana nao agano la milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Mimi Mwenyezi-Mungu napenda haki; nachukia unyanganyi na uhalifu. Nitawatuza watu wangu kwa uaminifu, nitafanya nao agano la milele. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Mimi Mwenyezi-Mungu napenda haki; nachukia unyanganyi na uhalifu. Nitawatuza watu wangu kwa uaminifu, nitafanya nao agano la milele. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Mimi Mwenyezi-Mungu napenda haki; nachukia unyang'anyi na uhalifu. Nitawatuza watu wangu kwa uaminifu, nitafanya nao agano la milele. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 “Kwa maana Mimi, Mwenyezi Mungu, napenda haki, na ninachukia unyang’anyi na uovu. Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao na kufanya agano la milele nao. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 “Kwa maana Mimi, bwana, napenda haki, na ninachukia unyang’anyi na uovu. Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao na kufanya agano la milele nao. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI8 Maana mimi, BWANA, naipenda hukumu ya haki, nauchukia wizi na uovu; nami nitawalipa malipo katika kweli, nitaagana nao agano la milele. Tazama sura |