Isaya 6:3 - Swahili Revised Union Version3 Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Waliitana kila mmoja na mwenzake hivi: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu, ni Mwenyezi-Mungu wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Waliitana kila mmoja na mwenzake hivi: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu, ni Mwenyezi-Mungu wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Waliitana kila mmoja na mwenzake hivi: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu, ni Mwenyezi-Mungu wa majeshi! Dunia yote imejaa utukufu wake.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni; dunia yote imejaa utukufu wake.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni bwana Mwenye Nguvu Zote; dunia yote imejaa utukufu wake.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI3 Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake. Tazama sura |