Isaya 58:8 - Swahili Revised Union Version8 Ndipo nuru yako itakapopambazuka kama asubuhi, na uponyaji wako utatokea punde; na haki yako itakutangulia; utukufu wa BWANA utakufuata nyuma ukulinde. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 “Mkifanya hivyo mtangara kama pambazuko, mkiwa wagonjwa mtapona haraka. Matendo yenu mema yatawatangulia, nami nitawalindeni kutoka nyuma kwa utukufu wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 “Mkifanya hivyo mtangara kama pambazuko, mkiwa wagonjwa mtapona haraka. Matendo yenu mema yatawatangulia, nami nitawalindeni kutoka nyuma kwa utukufu wangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 “Mkifanya hivyo mtang'ara kama pambazuko, mkiwa wagonjwa mtapona haraka. Matendo yenu mema yatawatangulia, nami nitawalindeni kutoka nyuma kwa utukufu wangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko na uponyaji wako utatokea upesi; ndipo haki yako itakapokutangulia mbele yako, na utukufu wa Mwenyezi Mungu utakuwa mlinzi nyuma yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko na uponyaji wako utatokea upesi; ndipo haki yako itakapokutangulia mbele yako, na utukufu wa bwana utakuwa mlinzi nyuma yako. Tazama sura |