Isaya 56:6 - Swahili Revised Union Version6 Na wageni, walioandamana na BWANA ili wamhudumu, na kulipenda jina la BWANA, kuwa watumishi wake; kila aishikaye sabato asiivunje, na kulishika sana agano langu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 “Watu wageni watakaonikiri mimi Mwenyezi-Mungu, watakaoniheshimu, wakapenda jina langu na kuwa watumishi wangu, wote watakaoshika Sabato bila kuikufuru, watu watakaozingatia agano langu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 “Watu wageni watakaonikiri mimi Mwenyezi-Mungu, watakaoniheshimu, wakapenda jina langu na kuwa watumishi wangu, wote watakaoshika Sabato bila kuikufuru, watu watakaozingatia agano langu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 “Watu wageni watakaonikiri mimi Mwenyezi-Mungu, watakaoniheshimu, wakapenda jina langu na kuwa watumishi wangu, wote watakaoshika Sabato bila kuikufuru, watu watakaozingatia agano langu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Wageni wanaoambatana na Mwenyezi Mungu ili kumtumikia, kulipenda jina la Mwenyezi Mungu, na kumwabudu yeye, wote washikao Sabato bila kuinajisi na ambao hushika sana agano langu: Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Wageni wanaoambatana na bwana ili kumtumikia, kulipenda jina la bwana, na kumwabudu yeye, wote washikao Sabato bila kuinajisi na ambao hushika sana agano langu: Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Na wageni, walioandamana na BWANA ili wamhudumu, na kulipenda jina la BWANA, kuwa watumishi wake; kila aishikaye sabato asiivunje, na kulishika sana agano langu; Tazama sura |