Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 56:12 - Swahili Revised Union Version

12 Husema, Njooni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Huambiana, “Njoni, twende kutafuta divai; njoni tunywe tushibe pombe! Kesho itakuwa kama leo, tena itakuwa sikukuu kubwa zaidi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Huambiana, “Njoni, twende kutafuta divai; njoni tunywe tushibe pombe! Kesho itakuwa kama leo, tena itakuwa sikukuu kubwa zaidi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Huambiana, “Njoni, twende kutafuta divai; njoni tunywe tushibe pombe! Kesho itakuwa kama leo, tena itakuwa sikukuu kubwa zaidi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo! Tunywe kileo sana! Kesho itakuwa kama leo, au hata bora zaidi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo! Tunywe kileo sana! Kesho itakuwa kama leo, au hata bora zaidi.”

Tazama sura Nakili




Isaya 56:12
23 Marejeleo ya Msalaba  

Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Asema moyoni mwake, Sitaondoshwa, Kizazi baada ya kizazi sitakuwamo taabuni.


Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Utasema, Wamenichapa wala sikuumia; Wamenipiga wala sina habari; Nitaamka lini, nitazidi kuitafuta tena.


Usijisifu kwa ajili ya kesho; Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.


Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo niliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu.


Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hadi usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao!


Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya BWANA wala kuyafikiri matendo ya mikono yake.


Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, na walio hodari wa kuchanganya vileo;


Hapo ndipo waliposema, Njooni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njooni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.


Uzinzi na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.


Lisikieni neno hili, enyi ng'ombe wa Bashani, mnaokaa juu ya mlima wa Samaria, mnaowaonea maskini, na kuwaponda wahitaji; mnaowaambia bwana zao, Haya! Leteni, tunywe.


Kwa maana kama miiba wametatana, kama walevi wamelewa, watateketezwa kama mabua makavu.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Ikiwa, kwa jinsi ya kibinadamu, nilipigana na hayawani wakali kule Efeso, nina faida gani? Wasipofufuliwa wafu, na tule, na tunywe, maana kesho tutakufa.


Maana imempasa askofu awe mtu asiyeshitakiwa neno, kwa kuwa ni wakili wa Mungu; asiwe mtu wa kujipendeza nafsi yake, asiwe mwepesi wa hasira, asiwe mlevi wala mgomvi, asiwe mpenda mapato ya aibu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo