Isaya 55:13 - Swahili Revised Union Version13 Badala ya michongoma utamea msonobari, Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili litakuwa la kumpatia BWANA jina, Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Badala ya michongoma kutamea misonobari, na badala ya mbigili kutamea mihadasi. Hilo litakuwa jambo litakalowakumbusha watu juu ya mambo niliyotenda mimi Mwenyezi-Mungu; ishara ya milele ambayo haitafutwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Badala ya michongoma kutamea misonobari, na badala ya mbigili kutamea mihadasi. Hilo litakuwa jambo litakalowakumbusha watu juu ya mambo niliyotenda mimi Mwenyezi-Mungu; ishara ya milele ambayo haitafutwa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Badala ya michongoma kutamea misonobari, na badala ya mbigili kutamea mihadasi. Hilo litakuwa jambo litakalowakumbusha watu juu ya mambo niliyotenda mimi Mwenyezi-Mungu; ishara ya milele ambayo haitafutwa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Badala ya kichaka cha miiba itaota miti ya misunobari, na badala ya michongoma utaota mhadasi. Hili litakuwa jambo la kumpatia Mwenyezi Mungu jina, kwa ajili ya ishara ya milele, ambayo haitaharibiwa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Badala ya kichaka cha miiba itaota miti ya misunobari, na badala ya michongoma utaota mhadasi. Hili litakuwa jambo la kumpatia bwana jina, kwa ajili ya ishara ya milele, ambayo haitaharibiwa.” Tazama sura |