Isaya 53:10 - Swahili Revised Union Version10 Lakini BWANA aliridhika kumchubua; Amemhuzunisha; Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku nyingi, Na mapenzi ya BWANA yatafanikiwa mkononi mwake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mwenyezi-Mungu alipenda kumwumiza na kumweka katika huzuni. Alijitoa mhanga kwa ajili ya kuondoa dhambi. Mtumishi wa Mungu atakuwa na wazawa; ataishi maisha marefu. Yeye ndiye atakayetimiza mpango wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mwenyezi-Mungu alipenda kumwumiza na kumweka katika huzuni. Alijitoa mhanga kwa ajili ya kuondoa dhambi. Mtumishi wa Mungu atakuwa na wazawa; ataishi maisha marefu. Yeye ndiye atakayetimiza mpango wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mwenyezi-Mungu alipenda kumwumiza na kumweka katika huzuni. Alijitoa mhanga kwa ajili ya kuondoa dhambi. Mtumishi wa Mungu atakuwa na wazawa; ataishi maisha marefu. Yeye ndiye atakayetimiza mpango wa Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu kumchubua na kumsababisha ateseke. Ingawa Mwenyezi Mungu amefanya maisha yake kuwa sadaka ya hatia, ataona uzao wake na kuishi siku nyingi, nayo mapenzi ya Mwenyezi Mungu yatafanikiwa mkononi mwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya bwana kumchubua na kumsababisha ateseke. Ingawa bwana amefanya maisha yake kuwa sadaka ya hatia, ataona uzao wake na kuishi siku nyingi, nayo mapenzi ya bwana yatafanikiwa mkononi mwake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Lakini BWANA aliridhika kumchubua; Amemhuzunisha; Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku nyingi, Na mapenzi ya BWANA yatafanikiwa mkononi mwake; Tazama sura |