Isaya 52:12 - Swahili Revised Union Version12 Maana hamtatoka kwa haraka, wala hamtakwenda kwa kukimbia, kwa sababu BWANA atawatangulia; na Mungu wa Israeli atawafuata nyuma; awalinde. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Safari hii hamtatoka kwa haraka, wala hamtaondoka mbiombio! Maana Mwenyezi-Mungu atawatangulieni, Mungu wa Israeli atawalinda kutoka nyuma. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Safari hii hamtatoka kwa haraka, wala hamtaondoka mbiombio! Maana Mwenyezi-Mungu atawatangulieni, Mungu wa Israeli atawalinda kutoka nyuma. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Safari hii hamtatoka kwa haraka, wala hamtaondoka mbiombio! Maana Mwenyezi-Mungu atawatangulieni, Mungu wa Israeli atawalinda kutoka nyuma. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini hamtaondoka kwa haraka, wala hamtaenda kwa kukimbia; kwa maana Mwenyezi Mungu atatangulia mbele yenu, Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini hamtaondoka kwa haraka, wala hamtakwenda kwa kukimbia; kwa maana bwana atatangulia mbele yenu, Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Maana hamtatoka kwa haraka, wala hamtakwenda kwa kukimbia, kwa sababu BWANA atawatangulia; na Mungu wa Israeli atawafuata nyuma; awalinde. Tazama sura |