Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 50:3 - Swahili Revised Union Version

3 Mimi nazivika mbingu weusi, nami nafanya nguo ya magunia kuwa kifuniko chao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mimi hulivika anga giza, na kulivalisha vazi la kuomboleza.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mimi hulivika anga giza, na kulivalisha vazi la kuomboleza.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mimi hulivika anga giza, na kulivalisha vazi la kuomboleza.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Ninalivika anga weusi na kufanya gunia kuwa kifuniko chake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Ninalivika anga weusi na kufanya nguo ya gunia kuwa kifuniko chake.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Mimi nazivika mbingu weusi, nami nafanya nguo ya magunia kuwa kifuniko chao.

Tazama sura Nakili




Isaya 50:3
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia Musa, Nyosha mkono wako kuelekea mbinguni, kuwe giza juu ya nchi ya Misri, watu wapapasepapase gizani.


Maana nyota za mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake; jua litatiwa giza wakati wa kucha kwake, na mwezi utaacha nuru yake isiangaze.


nao wataiangalia nchi, na, tazama, shida na giza; hapatakuwa changamko kwa sababu ya dhiki; nao watafukuzwa na kuingia katika giza kubwa.


Kwa ajili ya hayo nchi itaomboleza, na mbingu zitakuwa nyeusi; kwa sababu mimi nimeyanena haya, na kuyakusudia, wala sikujuta wala mimi sitarudi nyuma niyaache.


Basi tangu saa sita palikuwa na giza juu ya nchi yote hadi saa tisa.


Nami nikaona, alipoufungua mhuri wa sita, palikuwa na tetemeko kuu la nchi; jua likawa jeusi kama gunia la singa, mwezi wote ukawa kama damu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo