Isaya 5:10 - Swahili Revised Union Version10 Kwa maana shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Shamba la mizabibu la eka kumi litatoa lita nane tu za divai; anayepanda kilo 100 za mbegu atavuna kilo 10 tu za nafaka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Shamba la mizabibu la eka kumi litatoa lita nane tu za divai; anayepanda kilo 100 za mbegu atavuna kilo 10 tu za nafaka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Shamba la mizabibu la eka kumi litatoa lita nane tu za divai; anayepanda kilo 100 za mbegu atavuna kilo 10 tu za nafaka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja ya divai, na homeri moja ya mbegu zilizopandwa itatoa efa moja tu ya nafaka.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja ya divai, na homeri ya mbegu zilizopandwa itatoa efa moja tu ya nafaka.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Kwa maana shamba la mizabibu la eka kumi litatoa bathi moja tu, na homeri ya mbegu itatoa efa tu. Tazama sura |