Isaya 49:24 - Swahili Revised Union Version24 Je! Aliye hodari aweza kunyang'anywa mateka wake, au mateka wa mtu katili kuokoka? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 Watu wa Yerusalemu walalamika: “Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake? Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 Watu wa Yerusalemu walalamika: “Je, shujaa aweza kunyanganywa nyara zake? Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 Watu wa Yerusalemu walalamika: “Je, shujaa aweza kunyang'anywa nyara zake? Au mateka wa mtu katili waweza kuokolewa?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita, au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita, au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali? Tazama sura |