Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 49:11 - Swahili Revised Union Version

11 Nami nitafanya milima yangu yote kuwa njia, na njia zangu zote kuu zitainuliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Milima yote nitaifanya kuwa njia, na barabara zangu kuu nitazitengeneza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Milima yote nitaifanya kuwa njia, na barabara zangu kuu nitazitengeneza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Milima yote nitaifanya kuwa njia, na barabara zangu kuu nitazitengeneza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara, na njia kuu zangu zitainuliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara, na njia kuu zangu zitainuliwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Nami nitafanya milima yangu yote kuwa njia, na njia zangu zote kuu zitainuliwa.

Tazama sura Nakili




Isaya 49:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Walitangatanga jangwani katika njia ya nyika; Hawakuona mji wa kukaa.


Akawaongoza kwa njia ya kunyoka, Wapate kwenda mpaka mji wa kukaa.


Itakuwako njia kuu kwa mabaki ya watu wake watakaobaki, watokao Ashuru, kama vile ilivyokuwako kwa Israeli, katika siku ile waliyotoka katika nchi ya Misri.


Katika siku hiyo itakuwako njia kuu itokayo Misri na kufika hadi Ashuru; Mwashuri atafika Misri, na Mmisri atafika Ashuru, na Wamisri wataabudu pamoja na Waashuri.


Tazama, nitatenda neno jipya; sasa litachipuka; je! Hamtalijua sasa? Nitafanya njia hata jangwani, na mito ya maji nyikani.


Maana hamtatoka kwa haraka, wala hamtakwenda kwa kukimbia, kwa sababu BWANA atawatangulia; na Mungu wa Israeli atawafuata nyuma; awalinde.


Naye atasema, Tutieni, tutieni, Itengenezeni njia, Ondoeni kila kizuizi Katika njia ya watu wangu.


Piteni, piteni, katika malango; Itengenezeni njia ya watu; Tutieni, tutieni barabara; toeni mawe yake; Twekeni bendera kwa ajili ya makabila ya watu.


Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo