Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 45:15 - Swahili Revised Union Version

15 Hakika wewe u Mungu ujifichaye nafsi yako, Ee Mungu wa Israeli, Mwokozi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Kweli wewe ni Mungu uliyefichika, Mungu wa Israeli, Mungu Mwokozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Kweli wewe ni Mungu uliyefichika, Mungu wa Israeli, Mungu Mwokozi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Kweli wewe ni Mungu uliyefichika, Mungu wa Israeli, Mungu Mwokozi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Hakika wewe u Mungu unayejificha, Ee Mungu na Mwokozi wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Hakika wewe u Mungu unayejificha, Ee Mungu na Mwokozi wa Israeli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Hakika wewe u Mungu ujifichaye nafsi yako, Ee Mungu wa Israeli, Mwokozi.

Tazama sura Nakili




Isaya 45:15
24 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mambo haya uliyaficha moyoni mwako; Najua kuwa haya yamo nafsini mwako;


Laiti ningejua mahali niwezapo kumwona, Nifike hata hapo anapokaa!


Na mkono wa kushoto, afanyapo kazi, lakini siwezi kumwona; Hujificha upande wa kulia, hata nisimwone.


Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?


Mhimidini Mungu katika mikutano, Bwana katika makusanyiko ya Israeli.


Njia yako ilikuwa katika bahari. Na mapito yako yalikuwa katika maji makuu; Hatua zako hazikujulikana.


Nanyi mkunjuapo mikono yenu, nitaficha macho yangu nisiwaone; naam, mwombapo maombi mengi, sitasikia; mikono yenu imejaa damu.


Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu; Nitatumaini wala sitaogopa; Maana BWANA YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu.


Nayo itakuwa ishara na ushuhuda kwa BWANA wa majeshi katika nchi ya Misri; kwa maana watamlilia BWANA kwa sababu ya watu wawaoneao, naye atawapelekea mwokozi wa kuwatetea, naye atawaokoa.


Mimi, naam, mimi, ni BWANA, zaidi yangu mimi hapana mwokozi.


Maana mimi ni BWANA, Mungu wako; Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako, nimetoa Misri kuwa ukombozi wako; nimetoa Kushi na Seba kwa ajili yako.


Bali Israeli wataokolewa na BWANA kwa wokovu wa milele; ninyi hamtatahayarika, wala kufadhaika, milele na milele.


Mimi ninaleta karibu haki yangu, haitakuwa mbali, na wokovu wangu hautakawia; nami nitaweka wokovu katika Sayuni kwa ajili ya Israeli, utukufu wangu.


Kwa sababu ya uovu wa kutamani kwake niliona hasira, nikampiga; nilificha uso wangu, nikaona ghadhabu; naye akaendelea kwa ukaidi, kuifuata njia ya moyo wake mwenyewe.


Utanyonya maziwa ya mataifa, Utanyonya matiti ya wafalme; Nawe utajua ya kuwa mimi, BWANA, ni mwokozi wako, Na mkombozi wako, Mwenye enzi wa Yakobo.


Nami nitamngojea BWANA, awafichaye uso wake nyumba ya Yakobo, nami nitamtazamia.


Yesu akajibu, akamwambia, Nifanyalo wewe hujui sasa; lakini utalifahamu baadaye.


Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.


Wakamwambia yule mwanamke, Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako tu; maana sisi tumesikia wenyewe, tena tunajua ya kuwa hakika huyu ndiye Mwokozi wa ulimwengu.


Katika uzao wake mtu huyo Mungu amewaletea Israeli Mwokozi, yaani, Yesu, kama alivyoahidi;


Mtu huyo Mungu amemtukuza kwa mkono wake wa kulia, awe Mkuu na Mwokozi, awape Waisraeli toba na msamaha wa dhambi.


Lakini, kueni katika neema, na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na hata milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo