Isaya 44:13 - Swahili Revised Union Version13 Seremala hunyosha uzi; huiandika kwa kalamu ya mate; huitengeneza kwa randa, huiandika kwa bikari, huifanza kwa mfano wa mwanadamu, sawasawa na uzuri wa mwanadamu, ili ikae nyumbani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kadhalika naye seremala hupima kipande cha mbao, akakitia alama kwa kalamu yake, kisha kwa vifaa vyake hukichonga na kukipa umbo la binadamu na sura ya kupendeza; kisha akaiweka sanamu hiyo ya mungu mahali pake pa pekee. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kadhalika naye seremala hupima kipande cha mbao, akakitia alama kwa kalamu yake, kisha kwa vifaa vyake hukichonga na kukipa umbo la binadamu na sura ya kupendeza; kisha akaiweka sanamu hiyo ya mungu mahali pake pa pekee. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kadhalika naye seremala hupima kipande cha mbao, akakitia alama kwa kalamu yake, kisha kwa vifaa vyake hukichonga na kukipa umbo la binadamu na sura ya kupendeza; kisha akaiweka sanamu hiyo ya mungu mahali pake pa pekee. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Seremala hupima kwa kutumia kamba, na huuchora mstari kwa kalamu; huchonga kwa patasi na kutia alama kwa bikari. Huitengeneza katika umbo la binadamu, umbo la binadamu katika utukufu wake wote, ili iweze kukaa katika mahali pake pa ibada za sanamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Seremala hupima kwa kutumia kamba na huuchora mstari kwa kalamu; huchonga kwa patasi na kutia alama kwa bikari. Huifanyiza katika umbo la binadamu, la mwanadamu katika utukufu wake wote, ili iweze kukaa katika sehemu yake ya ibada ya miungu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Seremala hunyosha uzi; huiandika kwa kalamu ya mate; huitengeneza kwa randa, huiandika kwa bikari, huifanza kwa mfano wa mwanadamu, sawasawa na uzuri wa mwanadamu, ili ikae nyumbani. Tazama sura |