Isaya 40:18 - Swahili Revised Union Version18 Basi, mtamlinganisha Mungu na nani? Au mtamfananisha na mfano wa namna gani? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mtamlinganisha Mungu na nini basi, au ni kitu gani cha kumfananisha naye? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mtamlinganisha Mungu na nini basi, au ni kitu gani cha kumfananisha naye? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mtamlinganisha Mungu na nini basi, au ni kitu gani cha kumfananisha naye? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Basi, utamlinganisha Mungu na nani? Utamlinganisha na kitu gani? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Basi, utamlinganisha Mungu na nani? Utamlinganisha na kitu gani? Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Basi, mtamlinganisha Mungu na nani? Au mtamfananisha na mfano wa namna gani? Tazama sura |