Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 40:1 - Swahili Revised Union Version

1 Watulizeni mioyo, watulizeni mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Mungu wenu asema: “Wafarijini watu wangu, nendeni mkawafariji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Mungu wenu asema: “Wafarijini watu wangu, nendeni mkawafariji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Mungu wenu asema: “Wafarijini watu wangu, nendeni mkawafariji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Wafarijini, wafarijini watu wangu, asema Mungu wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Wafarijini, wafarijini watu wangu, asema Mungu wenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Watulizeni mioyo, watulizeni mioyo, watu wangu, asema Mungu wenu.

Tazama sura Nakili




Isaya 40:1
29 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.


Umeiondoa ghadhabu yako yote, Umerudi na kuuacha ukali wa hasira yako.


Na nisikie atakavyosema Mungu BWANA, Maana atawaambia watu wake amani, Naam, na watauwa wake pia, Bali wasiurudie upumbavu tena.


Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza;


Na katika siku hiyo utasema, Ee BWANA, nitakushukuru wewe; Kwa kuwa ijapokuwa ulinikasirikia, Hasira yako imegeukia mbali, Nawe unanifariji moyo.


Waambieni wenye haki ya kuwa watakuwa heri, kwa maana watakula matunda ya matendo yao


Mimi kwanza nitauambia Sayuni, Tazama; hawa ndio; nami nitampa Yerusalemu mletaji wa habari njema.


Ni nani miongoni mwenu amchaye BWANA, aitiiye sauti ya mtumishi wake? Yeye aendaye katika giza, wala hana nuru, naye alitumainia jina la BWANA, na kumtegemea Mungu wake.


Mimi, naam, mimi, ndimi niwafarijiye; wewe u nani hata ukamwogopa mtu atakayekufa, na mwanadamu atakayefanywa kuwa kama majani?


Maana BWANA ameufariji Sayuni; amepafariji mahali pake palipokuwa ukiwa; amefanya nyika yake kuwa kama bustani ya Edeni, na jangwa lake kama bustani ya BWANA; shangwe na furaha zitaonekana ndani yake, kushukuru, na sauti ya kuimba.


Pigeni kelele za furaha, imbeni pamoja, Enyi mahali pa Yerusalemu palipokuwa ukiwa; Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake, Ameukomboa Yerusalemu.


Ondoka, uangaze; kwa kuwa nuru yako imekuja, Na utukufu wa BWANA umekuzukia.


Kutangaza mwaka wa BWANA uliokubaliwa, na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji wote waliao;


Hivyo ndivyo nitakavyoshibisha ghadhabu yangu juu yako, na wivu wangu utanitoka, nami nitatulia wala sitaona hasira tena.


Naye BWANA akamjibu yule malaika aliyesema nami kwa maneno mazuri, maneno yenye faraja.


Piga kelele tena, na kusema, BWANA wa majeshi asema hivi, Miji yangu itajawa na ufanisi tena; naye BWANA ataufariji Sayuni tena, atauchagua Yerusalemu tena.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


atufarijiye katika dhiki zetu zote ili nasi tupate kuwafariji wale walio katika dhiki za namna zote, kwa faraja hizo, tunazofarijiwa na Mungu.


Basi, farijianeni kwa maneno hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo