Isaya 37:34 - Swahili Revised Union Version34 Njia ile ile aliyoijia, kwa njia hiyo atarudi zake, wala hataingia ndani ya mji huu; asema BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Atarudi kwa njia ileile aliyojia na wala hataingia katika mji huu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimetamka hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Atarudi kwa njia ileile aliyojia na wala hataingia katika mji huu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimetamka hayo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Atarudi kwa njia ileile aliyojia na wala hataingia katika mji huu. Mimi Mwenyezi-Mungu nimetamka hayo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi; hataingia katika mji huu,” asema Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi; hataingia katika mji huu,” asema bwana. Tazama sura |