Isaya 3:17 - Swahili Revised Union Version17 Basi, kwa hiyo, Bwana atawapiga binti za Sayuni kwa pele za utosini, na BWANA ataifunua aibu yao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Basi, mimi Mwenyezi-Mungu nitawaadhibu; nitawanyoa nywele hao wanawake wa Siyoni, na kuwavua nguo za kufunika uchi wao.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Basi, mimi Mwenyezi-Mungu nitawaadhibu; nitawanyoa nywele hao wanawake wa Siyoni, na kuwavua nguo za kufunika uchi wao.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Basi, mimi Mwenyezi-Mungu nitawaadhibu; nitawanyoa nywele hao wanawake wa Siyoni, na kuwavua nguo za kufunika uchi wao.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni; Mwenyezi Mungu atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni; bwana atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Basi, kwa hiyo, Bwana atawapiga binti za Sayuni kwa pele za utosini, na BWANA ataifunua aibu yao. Tazama sura |