Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 29:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nami nitapiga kimo juu yako pande zote, nitakuhusuru kwa ngome, nami nitajenga maboma yakuzunguke.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mimi nitapanga jeshi dhidi ya Yerusalemu, nami nitauzingira na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mimi nitapanga jeshi dhidi ya Yerusalemu, nami nitauzingira na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mimi nitapanga jeshi dhidi ya Yerusalemu, nami nitauzingira na kuushambulia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, nitakuzunguka kwa minara na kujenga ngome yakukuzingira.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, nitakuzunguka kwa minara na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Nami nitapiga kimo juu yako pande zote, nitakuhusuru kwa ngome, nami nitajenga maboma yakuzunguke.

Tazama sura Nakili




Isaya 29:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Ashuru akawatuma jemadari wake, na mkuu wa matowashi, na kamanda wake, toka Lakishi, kwa mfalme Hezekia huko Yerusalemu, pamoja na jeshi kubwa. Nao wakakwea wakafika Yerusalemu. Na walipokwisha kufika, wakaja wakasimama karibu na mfereji wa birika la juu, lililo katika njia kuu ya kuuendea Uwanda wa Dobi.


Basi BWANA asema hivi katika habari za mfalme wa Ashuru, Yeye hatauingia mji huu, wala hatapiga mshale hapa, wala hatakuja mbele yake kwa ngao, wala hatajenga boma juu yake.


Na binti Sayuni ameachwa kama kibanda katika shamba la mizabibu, kama kipenu katika shamba la matango, kama mji uliohusuriwa.


Katika mkono wake wa kulia alikuwa na kura ya Yerusalemu, kuviweka vyombo vya kubomolea, kufumbua kinywa katika machinjo, kuiinua sauti kwa kupiga kelele sana, kuweka vyombo vya kubomolea juu ya malango, kufanya maboma, na kujenga ngome.


Basi yule mfalme akaghadhibika; akatuma majeshi yake, akawaangamiza wauaji wale, akauteketeza mji wao.


Ila miti uijuayo si miti ya kuliwa iangamize, na kuitema; ukajenge maburuji juu ya mji ufanyao vita juu yako, hata uanguke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo