Isaya 24:23 - Swahili Revised Union Version23 Ndipo mwezi utatahayari, na jua litaona haya; kwa kuwa BWANA wa majeshi atatawala katika mlima wa Sayuni, na katika Yerusalemu, na mbele ya wazee wake kwa utukufu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Kisha mwezi utaaibishwa, nalo jua litaona aibu kuangaza, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi atatawala huko Yerusalemu katika mlima Siyoni; ataonesha wazee wa watu wake utukufu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Kisha mwezi utaaibishwa, nalo jua litaona aibu kuangaza, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi atatawala huko Yerusalemu katika mlima Siyoni; ataonesha wazee wa watu wake utukufu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Kisha mwezi utaaibishwa, nalo jua litaona aibu kuangaza, kwa kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi atatawala huko Yerusalemu katika mlima Siyoni; ataonesha wazee wa watu wake utukufu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Mwezi utatiwa haya, nalo jua litaaibishwa; kwa maana Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni atatawala juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu, tena mbele ya wazee wake, kwa utukufu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Mwezi utatiwa haya, nalo jua litaaibishwa; kwa maana bwana Mwenye Nguvu Zote atawala juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu, tena mbele ya wazee wake kwa utukufu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI23 Ndipo mwezi utatahayari, na jua litaona haya; kwa kuwa BWANA wa majeshi atatawala katika mlima wa Sayuni, na katika Yerusalemu, na mbele ya wazee wake kwa utukufu. Tazama sura |