Isaya 22:12 - Swahili Revised Union Version12 Siku hiyo Bwana, BWANA wa majeshi, akawaita watu walie na kuomboleza, na kung'oa nywele zao, na kuvaa nguo za magunia; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu, wa majeshi aliwataka mlie na kuomboleza, mnyoe nywele na kuvaa mavazi ya gunia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu, wa majeshi aliwataka mlie na kuomboleza, mnyoe nywele na kuvaa mavazi ya gunia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Siku hiyo, Mwenyezi-Mungu, wa majeshi aliwataka mlie na kuomboleza, mnyoe nywele na kuvaa mavazi ya gunia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, aliwaita siku ile ili kulia na kuomboleza, kung’oa nywele zenu na kuvaa magunia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Bwana, bwana Mwenye Nguvu Zote, aliwaita siku ile ili kulia na kuomboleza, kung’oa nywele zenu na kuvaa nguo ya gunia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Siku hiyo Bwana, BWANA wa majeshi, akawaita watu walie na kuomboleza, na kung'oa nywele zao, na kuvaa nguo za magunia; Tazama sura |