Isaya 2:13 - Swahili Revised Union Version13 Na juu ya mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu na kuinuka, na juu ya mialoni yote ya Bashani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 dhidi ya mierezi yote ya Lebanoni, ambayo ni mirefu na mizuri, dhidi ya mialoni yote nchini Bashani; Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 dhidi ya mierezi yote ya Lebanoni, ambayo ni mirefu na mizuri, dhidi ya mialoni yote nchini Bashani; Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 dhidi ya mierezi yote ya Lebanoni, ambayo ni mirefu na mizuri, dhidi ya mialoni yote nchini Bashani; Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana, na mialoni yote ya Bashani, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Na juu ya mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu na kuinuka, na juu ya mialoni yote ya Bashani; Tazama sura |
Umemshutumu Bwana kwa watumishi wako, kwa kuwa umesema, Kwa wingi wa magari yangu nimepanda juu ya vilele vya milima, mpaka mahali pa ndani ya Lebanoni; nami nitaikata mierezi yake mirefu, na misonobari yake mizuri, nami nitaingia ndani ya mahali pake palipoinuka, palipo mbali sana, msitu wa shamba lake lizaalo sana.