Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 16:13 - Swahili Revised Union Version

13 Hilo ndilo neno lile alilolisema BWANA juu ya Moabu zamani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hili ndilo jambo alilosema Mwenyezi-Mungu wakati uliopita kuhusu Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hili ndilo jambo alilosema Mwenyezi-Mungu wakati uliopita kuhusu Moabu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hili ndilo jambo alilosema Mwenyezi-Mungu wakati uliopita kuhusu Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Hili ndilo neno ambalo Mwenyezi Mungu ameshasema kuhusu Moabu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Hili ndilo neno ambalo bwana ameshasema kuhusu Moabu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Hilo ndilo neno lile alilolisema BWANA juu ya Moabu zamani.

Tazama sura Nakili




Isaya 16:13
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena itakuwa, Moabu akionekana, na kujichosha kwa kulia juu ya mahali pa juu, na kuingia katika patakatifu pake aombe, hatapata kushinda.


Lakini sasa BWANA asema hivi, Katika muda wa miaka mitatu, kama miaka ya mtu wa mshahara, utukufu wa Moabu utadharauliwa, licha ya wingi wa watu wake; na watakaobaki watakuwa wachache sana na dhaifu.


Msiogope wala msifanye hofu; je! Sikukuambia haya zamani na kuyatangaza? Na ninyi ni mashahidi wangu. Je! Yuko Mungu zaidi yangu mimi? Hakika hapana Mwamba; mimi sijui mwingine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo