Isaya 16:11 - Swahili Revised Union Version11 Kwa sababu hiyo mtima wangu unamlilia Moabu kama kinubi, na nafsi yangu kwa ajili ya Kir-Heresi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Hivyo, nafsi yangu yalilia Moabu kama kinubi, na moyo wangu kwa ajili ya mji wa Kir-heresi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Hivyo, nafsi yangu yalilia Moabu kama kinubi, na moyo wangu kwa ajili ya mji wa Kir-heresi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Hivyo, nafsi yangu yalilia Moabu kama kinubi, na moyo wangu kwa ajili ya mji wa Kir-heresi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi, nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi, nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kwa sababu hiyo mtima wangu unamlilia Moabu kama kinubi, na nafsi yangu kwa ajili ya Kir-Heresi. Tazama sura |