Isaya 12:1 - Swahili Revised Union Version1 Na katika siku hiyo utasema, Ee BWANA, nitakushukuru wewe; Kwa kuwa ijapokuwa ulinikasirikia, Hasira yako imegeukia mbali, Nawe unanifariji moyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Siku hiyo mtasema: “Nakushukuru, ee Mwenyezi-Mungu, maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako imetulia, nawe umenifariji. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Siku hiyo mtasema: “Nakushukuru, ee Mwenyezi-Mungu, maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako imetulia, nawe umenifariji. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Siku hiyo mtasema: “Nakushukuru, ee Mwenyezi-Mungu, maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako imetulia, nawe umenifariji. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Mwenyezi Mungu. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Na katika siku hiyo utasema, Ee BWANA, nitakushukuru wewe; Kwa kuwa ijapokuwa ulinikasirikia, Hasira yako imegeukia mbali, Nawe unanifariji moyo. Tazama sura |