Isaya 10:34 - Swahili Revised Union Version34 naye atavikata vichaka vya msitu kwa chuma; na Lebanoni utaanguka kwa mkono wake aliye mwenye uweza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Atakata vichaka vya msituni kwa shoka, Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Atakata vichaka vya msituni kwa shoka, Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Atakata vichaka vya msituni kwa shoka, Lebanoni na mierezi yake maarufu itaanguka. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Atakata vichaka vya msitu kwa shoka; Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI34 naye atavikata vichaka vya msitu kwa chuma; na Lebanoni utaanguka kwa mkono wake aliye mwenye uweza. Tazama sura |
Umemshutumu Bwana kwa watumishi wako, kwa kuwa umesema, Kwa wingi wa magari yangu nimepanda juu ya vilele vya milima, mpaka mahali pa ndani ya Lebanoni; nami nitaikata mierezi yake mirefu, na misonobari yake mizuri, nami nitaingia ndani ya mahali pake palipoinuka, palipo mbali sana, msitu wa shamba lake lizaalo sana.
Tena, kwa kuwa mfalme alimwona mlinzi, naye ni mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni, akisema, Ukateni mti huu, mkauangamize; ila kiacheni kisiki cha shina lake katika ardhi, pamoja na pingu ya chuma na shaba, katika majani mororo ya kondeni; kikatiwe maji kwa umande wa mbinguni, na sehemu yake iwe pamoja na wanyama wa mwituni, hata nyakati saba zipite juu yake;