Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 10:25 - Swahili Revised Union Version

25 Maana bado kitambo kidogo tu ghadhabu itakoma, na hasira yangu itageukia kuwaangamiza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Maana bado kitambo, nayo hasira yangu itapita na ghadhabu yangu itawageukia Waashuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Maana bado kitambo, nayo hasira yangu itapita na ghadhabu yangu itawageukia Waashuru.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Maana bado kitambo, nayo hasira yangu itapita na ghadhabu yangu itawageukia Waashuru.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma, na ghadhabu yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma, na ghadhabu yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Maana bado kitambo kidogo tu ghadhabu itakoma, na hasira yangu itageukia kuwaangamiza.

Tazama sura Nakili




Isaya 10:25
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa usiku uo huo malaika wa BWANA alitoka, akakiingia kituo cha Waashuri, akawapiga watu mia moja themanini na tano elfu. Na watu walipoamka asubuhi na mapema, kumbe! Hao walikuwa maiti wote pia.


Maana bado kitambo kidogo asiye haki hatakuwapo, Utapaangalia mahali pake wala hatakuwapo.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Ole wake Ashuru! Fimbo ya hasira yangu, ambaye gongo lililo mkononi mwake ni ghadhabu yangu!


Pigeni kelele za hofu; maana siku ya BWANA i karibu; itanyesha kama maangamizi yatokayo kwa Mwenyezi Mungu.


Njooni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.


Kwa kitambo kidogo nimekuacha; lakini kwa rehema nyingi nitakurudisha.


Naye mfalme atafanya kama apendavyo; naye atajitukuza na kujiadhimisha juu ya kila mungu, naye atanena maneno ya ajabu juu ya Mungu wa miungu, naye atafanikiwa mpaka ghadhabu itakapotimia; maana yaliyokusudiwa yatafanyika.


Kwa maana BWANA wa majeshi asema hivi, Kwa mara nyingine, kitambo kidogo tu, nitazitikisa hizo mbingu, na hii nchi, na bahari, na nchi kavu;


Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajaye atakuja, wala hatakawia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo