Isaya 10:1 - Swahili Revised Union Version1 Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao sheria za kudhulumu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Ole wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ole wao wawekao sheria zisizo za haki, kwa wale watoao amri za kuonea, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Ole wao wawekao amri zisizo za haki, na waandishi waandikao sheria za kudhulumu; Tazama sura |