Hosea 2:16 - Swahili Revised Union Version16 Tena siku hiyo itakuwa, asema BWANA, utaniita Ishi, wala hutaniita tena Baali. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku hiyo, wewe utaniita ‘Mume wangu,’ na sio tena ‘Baali wangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku hiyo, wewe utaniita ‘Mume wangu,’ na sio tena ‘Baali wangu.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 “Mimi Mwenyezi-Mungu nasema hivi: Siku hiyo, wewe utaniita ‘Mume wangu,’ na sio tena ‘Baali wangu.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 “Katika siku ile,” asema Mwenyezi Mungu, “utaniita mimi ‘Mume wangu’; hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “Katika siku ile,” asema bwana, “utaniita mimi ‘Mume wangu’; hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Tena siku hiyo itakuwa, asema BWANA, utaniita Ishi, wala hutaniita tena Baali. Tazama sura |