Hosea 1:9 - Swahili Revised Union Version9 BWANA akasema, Mwite jina lake Lo-ami; kwa maana ninyi si watu wangu, wala mimi sitakuwa Mungu wenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Mwenyezi-Mungu akamwambia Hosea, “Mpe mtoto huyo jina ‘Siwangu,’ maana nyinyi si watu wangu, wala mimi si wenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Mwenyezi-Mungu akamwambia Hosea, “Mpe mtoto huyo jina ‘Siwangu,’ maana nyinyi si watu wangu, wala mimi si wenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Mwenyezi-Mungu akamwambia Hosea, “Mpe mtoto huyo jina ‘Siwangu,’ maana nyinyi si watu wangu, wala mimi si wenu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Kisha Mwenyezi Mungu akasema, “Mwite Lo-Ami kwa maana ninyi si watu wangu, nami si Mungu wenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Kisha bwana akasema, “Mwite Lo-Ami kwa maana ninyi si watu wangu, nami si Mungu wenu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 BWANA akasema, Mwite jina lake Lo-ami; kwa maana ninyi si watu wangu, wala mimi sitakuwa Mungu wenu. Tazama sura |