Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 8:2 - Swahili Revised Union Version

2 Nena na Haruni, ukamwambie, Utakapoziweka taa, hizo taa saba zitatoa nuru hapo mbele ya kinara cha taa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Mwambie Aroni kwamba wakati atakapoziweka zile taa saba kwenye kinara, azipange ili ziangaze upande wa mbele wa kinara hicho.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Mwambie Aroni kwamba wakati atakapoziweka zile taa saba kwenye kinara, azipange ili ziangaze upande wa mbele wa kinara hicho.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Mwambie Aroni kwamba wakati atakapoziweka zile taa saba kwenye kinara, azipange ili ziangaze upande wa mbele wa kinara hicho.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Sema na Haruni umwambie, ‘Utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Sema na Haruni umwambie, ‘Wakati utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Nena na Haruni, ukamwambie, Utakapoziweka taa, hizo taa saba zitatoa nuru hapo mbele ya kinara cha taa.

Tazama sura Nakili




Hesabu 8:2
19 Marejeleo ya Msalaba  

Neno lako ni taa ya miguu yangu, Na mwanga wa njia yangu.


Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.


Kisha akafanya taa zake saba, makoleo yake na visahani vyake, vya dhahabu safi.


na kinara cha taa safi, na taa zake, hizo taa za kuwekwa mahali pake, na vyombo vyake vyote, na mafuta ya taa,


Kisha akaziwasha taa zake mbele za BWANA, kama BWANA alivyomwamuru Musa.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Atazitengeneza hizo taa katika kile kinara kilicho safi mbele za BWANA daima.


Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Basi Haruni akafanya; akaziweka taa zake ili zitoe nuru hapo mbele ya kinara, kama BWANA alivyomwagiza Musa.


Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji ukiwa juu ya mlima hauwezi kusitirika.


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa iangazayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.


Nikageuka niione ile sauti iliyosema nami. Na nilipogeuka, niliona vinara vya taa saba vya dhahabu;


Siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kulia, na ya vile vinara saba vya dhahabu. Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba; na vile vinara saba ni makanisa saba.


Na katika kile kiti cha enzi kunatoka umeme na sauti na ngurumo. Na taa saba za moto zikiwaka mbele ya kile kiti cha enzi, ndizo Roho saba za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo