Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 8:16 - Swahili Revised Union Version

16 Kwa kuwa nimepewa kabisa mimi watu hawa kutoka katika wana wa Israeli; badala ya wote wafunguao mimba, maana, wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli wote, nimewatwaa wawe wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Hao wametolewa wawe wangu kabisa, badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Hao wametolewa wawe wangu kabisa, badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Hao wametolewa wawe wangu kabisa, badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Wao ndio Waisraeli ambao watatolewa kabisa kwangu. Nimewatwaa kama mali yangu mwenyewe badala ya mzaliwa wa kwanza, mzaliwa wa kwanza wa kiume kutoka kwa kila mwanamke Mwisraeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wao ndio Waisraeli ambao watatolewa kabisa kwangu. Nimewatwaa kama mali yangu mwenyewe badala ya mzaliwa wa kwanza, mzaliwa wa kwanza wa kiume kutoka kwa kila mwanamke wa Kiisraeli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Kwa kuwa nimepewa kabisa mimi watu hawa kutoka katika wana wa Israeli; badala ya wote wafunguao mimba, maana, wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli wote, nimewatwaa wawe wangu.

Tazama sura Nakili




Hesabu 8:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakasie mimi wazaliwa wa kwanza wote, kila afunguaye tumbo katika wana wa Israeli, wa binadamu na wa mnyama; ni wangu huyo.


Mimi, tazama, nimewateua Walawi na kuwatoa kati ya wana wa Israeli badala ya kila mzaliwa wa kwanza wote wafunguao tumbo katika wana wa Israeli; na hao Walawi watakuwa wangu;


kwa kuwa hao wazaliwa wa kwanza wote ni wangu; katika siku ile niliyowapiga wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri nikajiwekea wakfu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli, wa wanadamu na wa wanyama; watakuwa wangu; mimi ndimi BWANA.


Uwaweke Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza katika wana wa Israeli, na wanyama wa Walawi badala ya wanyama wao; na hao Walawi watakuwa wangu mimi; mimi ndimi BWANA.


Lilete karibu kabila la Lawi, ukawaweke mbele ya Haruni kuhani, ili wapate kumtumikia.


Nawe utawapa Haruni na wanawe hao Walawi wawe nao; amepewa watu hao kabisa kwa ajili ya wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo