Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 7:30 - Swahili Revised Union Version

30 Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, mkuu wa wana wa Reubeni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Siku ya nne ikawa zamu ya Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Siku ya nne ikawa zamu ya Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Siku ya nne ikawa zamu ya Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa watu wa Reubeni, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, mkuu wa wana wa Reubeni;

Tazama sura Nakili




Hesabu 7:30
4 Marejeleo ya Msalaba  

Haya ndiyo majina ya wanaume watakaokusaidia; Wa Reubeni; Elisuri mwana wa Shedeuri.


Upande wa kusini kutakuwa na bendera ya kambi ya Reubeni kwa majeshi yao; na mkuu wa wana wa Reubeni atakuwa Elisuri mwana wa Shedeuri.


tena kwa ajili ya dhabihu ya sadaka za amani, ng'ombe dume wawili, na kondoo dume watano, na mbuzi dume watano, na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja; hayo ndiyo matoleo ya Eliabu mwana wa Heloni.


matoleo yake yalikuwa sahani moja ya fedha, uzani wake ni shekeli mia moja na thelathini, na bakuli moja ya fedha, uzani wake shekeli sabini, kwa shekeli ya mahali patakatifu; vyombo hivyo vyote viwili vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta, kuwa sadaka ya unga;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo