Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 4:48 - Swahili Revised Union Version

48 hao waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu nane na mia tano themanini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 jumla walikuwa watu 8,580.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 jumla walikuwa watu 8,580.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 jumla walikuwa watu 8,580.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 walikuwa elfu nane na mia tano themanini (8,580).

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 walikuwa watu 8,580.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

48 hao waliohesabiwa kwao, walikuwa elfu nane na mia tano themanini.

Tazama sura Nakili




Hesabu 4:48
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nao wakahesabiwa Walawi wenye miaka thelathini na zaidi; na jumla yao kwa vichwa, mtu kwa mtu, ikawa elfu thelathini na nane.


Hao wote waliohesabiwa katika Walawi, ambao Musa na Haruni waliwahesabu kwa amri ya BWANA, kwa jamaa zao, wanaume wote kuanzia umri wa mwezi mmoja na zaidi, walikuwa elfu ishirini na mbili.


tangu waliopata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini, kila aliyeingia kufanya kazi ya utumishi, na kazi ya kuchukua mizigo katika hema ya kukutania,


Vivyo hivyo wa mwisho watakuwa wa kwanza, na wa kwanza watakuwa wa mwisho.


Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo