Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 4:31 - Swahili Revised Union Version

31 Na mausia ya mzigo wao ni haya, kwa utumishi wao wote katika hema ya kukutania; mbao za Hema Takatifu, na mataruma yake, na nguzo zake, na vitako vyake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Wao, watakuwa na wajibu na kubeba mbao, mataruma, nguzo na misingi ya hema la mkutano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Wao, watakuwa na wajibu na kubeba mbao, mataruma, nguzo na misingi ya hema la mkutano.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Wao, watakuwa na wajibu na kubeba mbao, mataruma, nguzo na misingi ya hema la mkutano.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Huu ndio wajibu wao wanapofanya huduma katika Hema la Kukutania: kubeba miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo na vitako,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Huu ndio wajibu wao wanapofanya huduma katika Hema la Kukutania: kubeba miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo na vitako,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Na mausia ya mzigo wao ni haya, kwa utumishi wao wote katika hema ya kukutania; mbao za Hema Takatifu, na mataruma yake, na nguzo zake, na vitako vyake;

Tazama sura Nakili




Hesabu 4:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe fanya hizo mbao za maskani za mti wa mjohoro, zenye kusimama.


tangu aliyepata umri wa miaka thelathini na zaidi, hata umri wa miaka hamsini, utawahesabu, kila atakayeingia katika huo utumishi, ili kufanya kazi ya hema ya kukutania.


na viguzo vya ua vya kuuzunguka pande zote, na vitako vyake, na vigingi vyake, na kamba zake, na vyombo vyake vyote, pamoja na utumishi wake wote; nanyi mtawaagizia kila mtu kwa jina lake vile vyombo vya mzigo wao watakaoulinda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo