Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 32:7 - Swahili Revised Union Version

7 Mbona mwawavunja mioyo yao wana wa Israeli, wasivuke na kuingia nchi hiyo ambayo BWANA amewapa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mbona mnawavunja moyo Waisraeli wasiende katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu amewapa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mbona mnawavunja moyo Waisraeli wasiende katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu amewapa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mbona mnawavunja moyo Waisraeli wasiende katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu amewapa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo Mwenyezi Mungu amewapa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo bwana amewapa?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Mbona mwawavunja mioyo yao wana wa Israeli, wasivuke na kuingia nchi hiyo ambayo BWANA amewapa?

Tazama sura Nakili




Hesabu 32:7
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwambia wakasema, Tulifika nchi ile uliyotutuma, kwa hakika, ni nchi yenye wingi wa maziwa na asali, uthibitisho, haya ndiyo matunda yake.


Bali wale watu waliopanda pamoja naye wakasema, Hatuwezi kupanda tupigane na watu hawa; kwa maana wana nguvu kuliko sisi.


Na majina yao ni haya; katika kabila la Reubeni, Shamua mwana Zakuri.


Wakasafiri kutoka mlima wa Hori kwa njia ya Bahari ya Shamu; ili kuizunguka nchi ya Edomu, watu wakafa moyo kwa sababu ya ile njia.


Musa akawaambia wana wa Gadi na wana wa Reubeni, Je! Ndugu zenu waende vitani nanyi mtaketi hapa?


Kwa kuwa walipokwea na kuingia bonde la Eshkoli, na kuiona nchi, wakawavunja mioyo wana wa Israeli, ili wasikwee kuingia nchi aliyowapa BWANA.


Ndipo Paulo alipojibu, Mnafanya nini, kulia na kunivunja moyo? Kwa maana mimi, licha ya kufungwa, ni tayari hata kuuawa katika Yerusalemu kwa ajili ya jina lake Bwana Yesu.


Twakwea kwenda wapi? Ndugu zetu wameiyeyusha mioyo yetu, wakituambia, Wale watu ni wengi, ni warefu kuliko sisi; miji nayo ni mikubwa, imejengewa kuta hata mbinguni; na zaidi ya hayo huko tumewaona Waanaki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo