Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 32:37 - Swahili Revised Union Version

37 Na wana wa Reubeni wakajenga Heshboni, na Eleale, na Kiriathaimu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Kabila la Gadi lilijenga miji ya Heshboni, Eleale, Kiriathaimu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Kabila la Gadi lilijenga miji ya Heshboni, Eleale, Kiriathaimu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Kabila la Gadi lilijenga miji ya Heshboni, Eleale, Kiriathaimu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Na wana wa Reubeni wakajenga Heshboni, na Eleale, na Kiriathaimu;

Tazama sura Nakili




Hesabu 32:37
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwaka wa kumi na nne akaja Kedorlaoma na wafalme waliokuwa pamoja naye, wakawapiga Warefai katika Ashteroth-karnaimu, na Wazuzi katika Hamu, na Waemi katika Shawe-kiryathaimu,


Heshboni analia na Eleale; mpaka Yahasa sauti ya kulia kwao inasikiwa; hata watu wa Moabu waliovaa silaha wanapiga kelele sana kwa sababu hiyo; nafsi yake inatetemeka ndani yake.


Kuhusu Moabu. BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Ole wake Nebo! Kwa maana umeharibika; Kiriathaimu umeaibishwa, umetwaliwa; Misgabu umeaibishwa, nao umebomolewa.


Toka kilio cha Heshboni mpaka Eleale, naam, mpaka Yahasa, wametoa sauti zao, toka Soari mpaka Horonaimu, hata Eglath-shelishia; maana maji ya Nimrimu nayo yatakuwa ukiwa.


basi, tazama, nitawafunulia wana wa mashariki ubavu wa Moabu toka miji yake, toka miji yake iliyo mipakani mwake, utukufu wa nchi hiyo, Beth-yeshimothi, na Baal-meoni, na Kiriathaimu,


Kwa hiyo, hao wanenao kwa mithali wasema, Njoni Heshboni, Mji wa Sihoni na ujengwe na kuthibitishwa;


Atarothi, na Diboni, na Yazeri, na Nimra, na Heshboni, na Eleale, na Sebamu, na Nebo na Beoni,


na, Beth-nimra, na Beth-harani; miji yenye maboma, na mazizi ya kondoo.


na Nebo, na Baal-meoni, (majina yake yalikuwa yamegeuzwa) na Sibma; nao wakaiita miji waliyoijenga majina mengine.


na Kiriathaimu, na Sibma, na Sereth-shahari katika kilima cha hilo bonde;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo