Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 31:7 - Swahili Revised Union Version

7 Nao wakapigana na Midiani kama BWANA alivyomwagiza Musa; nao wakawaua kila mwanamume.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Waliishambulia nchi ya Midiani, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose, wakawaua wanaume wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Waliishambulia nchi ya Midiani, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose, wakawaua wanaume wote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Waliishambulia nchi ya Midiani, kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose, wakawaua wanaume wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama Mwenyezi Mungu alivyomwagiza Musa, nao waliua kila mwanaume.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama bwana alivyomwagiza Musa, nao waliua kila mwanaume.

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Niliziona hema za Kushani zikitaabika; Mapazia ya nchi ya Midiani yakatetemeka.


Na jambo mtakalotenda ni hili; mtamwangamiza kila mwanamume kabisa, na kila mwanamke ambaye amelala na mwanamume.


Wakati huo Wamidiani na Waamaleki, na hao wana wa mashariki walikutana pamoja; wakavuka na kupanga hema zao katika bonde la Yezreeli.


Tena Daudi akaipiga nchi hiyo, asimhifadhi hai mume wala mke, akateka nyara kondoo, na ng'ombe, na punda, na ngamia na mavazi; kisha akarejea na kufika kwa Akishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo