Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 31:53 - Swahili Revised Union Version

53 (Kwa kuwa wanajeshi walikuwa wamechukua nyara kila mtu zake binafsi.)

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 (Kila askari alijichukulia nyara zake binafsi).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 (Kila askari alijichukulia nyara zake binafsi).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 (Kila askari alijichukulia nyara zake binafsi).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.

Tazama sura Nakili




Hesabu 31:53
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nao Yehoshafati na watu wake walipokuja kuchukua nyara zao, wakakuta miongoni mwao mifugo wengi sana, mali, mavazi na vitu vya thamani, walivyojinyakulia, zaidi kuliko wawezavyo kuchukua; wakawa siku tatu katika kuteka nyara, maana zilikuwa nyingi sana.


Basi masazo ya hizo nyara walizotwaa watu wa vita, zilikuwa ni kondoo elfu mia sita na sabini na tano,


Na dhahabu yote ya sadaka ya kuinuliwa waliyosongeza kwa BWANA, ya makamanda wa maelfu, na makamanda wa mamia, ilikuwa shekeli elfu kumi na sita, mia saba na hamsini.


Wana wa Israeli wakawachukua mateka wanawake wa Midiani na watoto wao; na ng'ombe zao wote, na kondoo zao wote, na mali zao zote, wakachukua nyara.


lakini wanawake na watoto, na wanyama wa miji, na vilivyo mjini vyote, navyo ni nyara zake zote, uvitwae viwe mateka kwako; nawe utakula nyara za adui zako alizokupa BWANA, Mungu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo