Hesabu 28:25 - Swahili Revised Union Version25 Na siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Katika siku ya saba mtafanya mkutano mtakatifu; msifanye kazi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Katika siku ya saba mtafanya mkutano mtakatifu; msifanye kazi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Katika siku ya saba mtafanya mkutano mtakatifu; msifanye kazi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI25 Na siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi. Tazama sura |