Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 28:18 - Swahili Revised Union Version

18 Siku ya kwanza patakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo hamtafanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo hamtafanya kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo hamtafanya kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Siku ya kwanza patakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi;

Tazama sura Nakili




Hesabu 28:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya kwanza kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na siku ya saba kutakuwa kusanyiko takatifu; haitafanywa kazi yoyote katika siku hizo, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.


Na siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi.


Tena katika siku ya malimbuko, hapo mtakapomsogezea BWANA sadaka ya unga mpya katika sikukuu yenu ya majuma mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo