Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 24:25 - Swahili Revised Union Version

25 Basi Balaamu akainuka, akaondoka na kurudi mahali pake; Balaki naye akaenda zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Basi, Balaamu akaondoka, akarudi nyumbani; Balaki pia akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Basi, Balaamu akaondoka, akarudi nyumbani; Balaki pia akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Basi, Balaamu akaondoka, akarudi nyumbani; Balaki pia akaenda zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani mwake, naye Balaki akashika njia yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Basi Balaamu akainuka, akaondoka na kurudi mahali pake; Balaki naye akaenda zake.

Tazama sura Nakili




Hesabu 24:25
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa kimbilia mahali pako; niliazimu kukuheshimu sana; lakini, tazama, BWANA amekuzuilia heshima.


Basi sasa, tazama, ninakwenda kwa watu wangu; haya, nitakuarifu mambo ambayo watu hawa watakayowatenda watu wako siku za mwisho.


Basi Israeli akakaa Shitimu, kisha watu wakaanza kuzini pamoja na wanawake wa Moabu;


Nao wafalme wa Midiani wakawaua pamoja na watu wengine waliouawa; Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao wafalme watano wa Midiani; Balaamu mwana wa Beori naye wakamwua kwa upanga.


Balaamu naye, huyo mwana wa Beori, huyo mchawi, wana wa Israeli walimwua kwa upanga kati ya hao wengine waliowaua.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo