Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 24:19 - Swahili Revised Union Version

19 Mwenye kutawala atakuja kutoka Yakobo, Atawaangamiza watakaobaki mjini.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Mmoja wa wazawa wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaonusurika wa Ari.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Mmoja wa wazawa wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaonusurika wa Ari.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Mmoja wa wazawa wa Yakobo atatawala naye atawaangamiza watakaonusurika wa Ari.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo na kuangamiza walionusurika katika mji.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo na kuangamiza walionusurika katika mji.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Mwenye kutawala atakuja kutoka Yakobo, Atawaangamiza watakaobaki mjini.

Tazama sura Nakili




Hesabu 24:19
19 Marejeleo ya Msalaba  

Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki, Ambaye mataifa watamtii.


Na itakuwa katika siku hiyo, shina la Yese lisimamalo kuwa ishara kwa makabila ya watu, yeye ndiye ambaye mataifa watamtafuta; na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye asili yake imekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.


Naye atasimama, na kulisha kundi lake kwa nguvu za BWANA, kwa enzi ya jina la BWANA, Mungu wake; nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu hadi miisho ya dunia.


Na Edomu itakuwa milki Seiri pia itakuwa milki, waliokuwa adui zake; Israeli watakapotenda kwa ushujaa.


Kisha akamwangalia Amaleki, akatunga mithali yake, akasema, Amaleki alikuwa ni wa kwanza wa mataifa; Lakini mwisho wake atapata uharibifu.


Na hao watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele; bali wenye haki watakwenda katika uzima wa milele.


Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.


Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisafiri kwenda nchi ya mbali, ili ajipatie ufalme na kurudi.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.


Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke adui zake wote chini ya miguu yake.


Lakini kuhusu Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele; Na fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki.


Naye yuko katika mkono wa kulia wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zikiisha kutiishwa chini yake.


Naye ana jina limeandikwa katika vazi lake na paja lake, MFALME WA WAFALME, NA BWANA WA MABWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo