Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 23:28 - Swahili Revised Union Version

28 Basi Balaki akamchukua Balaamu akaenda naye mpaka kilele cha mlima Peori, mahali paelekeapo upande wa nyika iliyo chini yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Basi, Balaki akamchukua Balaamu mpaka kwenye kilele cha Mlima Peori, ambapo mtu akisimama anaona jangwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Basi, Balaki akamchukua Balaamu mpaka kwenye kilele cha Mlima Peori, ambapo mtu akisimama anaona jangwani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Basi, Balaki akamchukua Balaamu mpaka kwenye kilele cha Mlima Peori, ambapo mtu akisimama anaona jangwani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.

Tazama sura Nakili




Hesabu 23:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwabudu Baal-Peori, Wakazila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.


na kutoka Bamothi wakaenda bondeni kwenye konde la Moabu, hata kilele cha Pisga, kielekeacho chini jangwani.


Kisha Balaki akamwambia Balaamu, Haya, njoo sasa, nikupeleke mahali pengine; labda Mungu ataridhia kwamba unilaanie watu hao huko.


Balaamu akamwambia Balaki, Haya, unijengee hapa madhabahu saba, kisha uniandalie ng'ombe dume saba, na kondoo dume saba.


Basi Balaamu alipoona ya kuwa ilimpendeza BWANA kuwabariki Israeli, hakwenda, kama hapo awali, ili kupiga bao, bali alielekeza uso wake jangwani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo