Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 23:18 - Swahili Revised Union Version

18 Naye akatunga mithali yake, akasema, Ondoka Balaki, ukasikilize; Nisikilize, Ee mwana wa Sipori;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hapo, Balaamu akamtolea Balaki kauli yake: “Inuka, Balaki, usikie, nisikilize ewe mwana wa Sipori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hapo, Balaamu akamtolea Balaki kauli yake: “Inuka, Balaki, usikie, nisikilize ewe mwana wa Sipori.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hapo, Balaamu akamtolea Balaki kauli yake: “Inuka, Balaki, usikie, nisikilize ewe mwana wa Sipori.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Ndipo Balaamu akasema ujumbe wake: “Balaki, inuka na usikilize, nisikie mimi, wewe mwana wa Sipori.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Ndipo Balaamu akasema ujumbe wake: “Balaki, inuka na usikilize, nisikie mimi, wewe mwana wa Sipori.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Naye akatunga mithali yake, akasema, Ondoka Balaki, ukasikilize; Nisikilize, Ee mwana wa Sipori;

Tazama sura Nakili




Hesabu 23:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Akafika kwake, na tazama, amesimama karibu na sadaka yake ya kuteketezwa, na wakuu wa Moabu pamoja naye. Balaki akamwambia, BWANA amenena nini?


Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?


Basi Ehudi akamwendea; naye alikuwa anaketi peke yake katika chumba chake cha baridi. Ehudi akasema, “Nina ujumbe wako kutoka kwa Mungu”. Basi akainuka katika kiti chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo