Hesabu 23:12 - Swahili Revised Union Version12 Naye akajibu, akasema, Je! Hainipasi kuangalia, niseme neno lile BWANA atialo kinywani mwangu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Balaamu akamwambia Balaki, “Sina budi kusema maneno aliyonipa Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Balaamu akamwambia Balaki, “Sina budi kusema maneno aliyonipa Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Balaamu akamwambia Balaki, “Sina budi kusema maneno aliyonipa Mwenyezi-Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Balaamu akajibu, “Je, hainipasi kusema kile Mwenyezi Mungu anachoweka katika kinywa changu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Balaamu akajibu, “Je, hainipasi kusema kile bwana anachoweka katika kinywa changu?” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Naye akajibu, akasema, Je! Hainipasi kuangalia, niseme neno lile BWANA atialo kinywani mwangu? Tazama sura |