Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Hesabu 21:21 - Swahili Revised Union Version

21 Kisha Israeli akatuma wajumbe kumwendea Sihoni mfalme wa Waamori, na kusema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Waisraeli walimpelekea mfalme Sihoni wa Waamori, ujumbe huu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Waisraeli walimpelekea mfalme Sihoni wa Waamori, ujumbe huu:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Waisraeli walimpelekea mfalme Sihoni wa Waamori, ujumbe huu:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Kisha Israeli akatuma wajumbe kumwendea Sihoni mfalme wa Waamori, na kusema,

Tazama sura Nakili




Hesabu 21:21
16 Marejeleo ya Msalaba  

na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;


Pamoja na hayo ukawapa falme na taifa za watu, ulizowagawia sawasawa na mafungu yao; hivyo wakaimiliki nchi ya Sihoni, naam, nchi yake mfalme wa Heshboni, na nchi ya Ogu, mfalme wa Bashani.


Sihoni, mfalme wa Waamori, Na Ogu, mfalme wa Bashani, Na falme zote za Kanaani.


Sihoni, mfalme wa Waamori; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Wamekimbia, wasio na nguvu Wanasimama chini ya kivuli cha Heshboni; Ila moto umetoka katika Heshboni, Na muali wa moto toka kati ya Sihoni Nao umekula pembe ya Moabu, Na utosi wa kichwa wa watu wapigao kelele.


na kutoka Bamothi wakaenda bondeni kwenye konde la Moabu, hata kilele cha Pisga, kielekeacho chini jangwani.


alipokwisha kumpiga Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni, na Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa akikaa Ashtarothi iliyo katika Edrei;


Nanyi mlipokuja mahali hapa, walitutokea kupigana juu yetu Sihoni mfalme wa Heshboni, na Ogu mfalme wa Bashani, tukawapiga;


ng'ambo ya Yordani, katika bonde lililoelekea Beth-peori, katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyekuwa akikaa Heshboni ndiye aliyepigwa na Musa na wana wa Israeli, walipotoka Misri;


Basi hawa ndio wafalme wa nchi, ambao wana wa Israeli waliwapiga na kuimiliki nchi yao ng'ambo ya pili ya Yordani, upande wa maawio ya jua, kutoka bonde la Amoni mpaka mlima wa Hermoni, na nchi yote ya Araba upande wa mashariki;


Maana tumesikia jinsi BWANA alivyoyakausha maji ya Bahari ya Shamu mbele yenu, hapo mlipotoka Misri, tena mambo hayo mliyowatendea wafalme wawili wa Waamori waliokuwa huko ng'ambo ya Yordani, yaani, Sihoni na Ogu, mliowaangamiza kabisa.


Kisha nikawaleta na kuwaingiza katika nchi ya Waamori waliokaa ng'ambo ya pili ya Yordani; nao wakapigana nanyi; nikawatia mikononi mwenu, mkaimiliki nchi yao; nami nikawaangamiza mbele yenu.


Naye BWANA akawaambia wana wa Israeli, Je! Sikuwaokoa ninyi na hao Wamisri, na Waamori, na wana wa Amoni, na Wafilisti?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo