Hesabu 20:29 - Swahili Revised Union Version29 Na mkutano wote ulipoona ya kuwa Haruni amekufa, wakamwombolezea Haruni muda wa siku thelathini, maana, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Jumuiya yote ya watu ilipopata habari kwamba Aroni amefariki, ikafanya matanga ya siku thelathini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Jumuiya yote ya watu ilipopata habari kwamba Aroni amefariki, ikafanya matanga ya siku thelathini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Jumuiya yote ya watu ilipopata habari kwamba Aroni amefariki, ikafanya matanga ya siku thelathini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Jumuiya yote walipofahamu kwamba Haruni amekufa, Waisraeli wote wakamwomboleza kwa siku thelathini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Jumuiya yote ilipofahamu kwamba Haruni amekufa, jamaa yote ya Kiisraeli wakamwomboleza kwa siku thelathini. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI29 Na mkutano wote ulipoona ya kuwa Haruni amekufa, wakamwombolezea Haruni muda wa siku thelathini, maana, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea. Tazama sura |