Hesabu 19:11 - Swahili Revised Union Version11 Mtu agusaye maiti yeyote atakuwa najisi muda wa siku saba; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Mtu akigusa maiti ya mtu yeyote, atakuwa najisi kwa siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Mtu akigusa maiti ya mtu yeyote, atakuwa najisi kwa siku saba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Mtu akigusa maiti ya mtu yeyote, atakuwa najisi kwa siku saba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote atakuwa najisi kwa siku saba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote atakuwa najisi kwa siku saba. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Mtu amgusaye maiti yeyote atakuwa najisi muda wa siku saba; Tazama sura |