Hesabu 18:19 - Swahili Revised Union Version19 Sadaka zote za kuinuliwa za vitu vitakatifu, wana wa Israeli wavisongezavyo kwa BWANA, nimekupa wewe na wanao na binti zako pamoja nawe, ni haki yenu ya milele; ni agano la chumvi la milele mbele za BWANA kwa ajili yako, na kizazi chako pamoja nawe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 “Ninakupa wewe, wanao na binti zako, vitu vyote ambavyo watu wa Israeli hunitolea; hivyo ni haki yenu daima. Hili ni agano la milele mbele yangu ambalo ni kwa ajili yako na wazawa wako.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 “Ninakupa wewe, wanao na binti zako, vitu vyote ambavyo watu wa Israeli hunitolea; hivyo ni haki yenu daima. Hili ni agano la milele mbele yangu ambalo ni kwa ajili yako na wazawa wako.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 “Ninakupa wewe, wanao na binti zako, vitu vyote ambavyo watu wa Israeli hunitolea; hivyo ni haki yenu daima. Hili ni agano la milele mbele yangu ambalo ni kwa ajili yako na wazawa wako.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Chochote kitakachotengwa kutoka sadaka takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea Mwenyezi Mungu, ninakupa wewe, na wanao wa kiume na wa kike kuwa fungu lenu la milele. Ni agano la milele la chumvi mbele za Mwenyezi Mungu, kwako na wazao wako.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Chochote kitakachotengwa kutoka sadaka takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea bwana, ninakupa wewe, wanao na binti zako kama fungu lenu la kawaida. Ni Agano la milele la chumvi mbele za bwana kwako na watoto wako.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI19 Sadaka zote za kuinuliwa za vitu vitakatifu, wana wa Israeli wavisongezavyo kwa BWANA, nimekupa wewe na wanao na binti zako pamoja nawe, ni haki yenu ya milele; ni agano la chumvi la milele mbele za BWANA kwa ajili yako, na kizazi chako pamoja nawe. Tazama sura |